HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 4, 2020

RAIS DKT. SHEIN AFUNGUA MAONESHO YA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAKULIMA NANENANE ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wakulima Nanenane, yanayofanyika katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja (kulia kwa Rais) Kaimu Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe. Haji Omar Kheri na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Ufundi Wakala wa Serikali Huduma za Matreka na Kilimo Zanzibar Ndg. Mohammed Omar Mohammed na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Maliasiliu Mifugo na Uvuvi Zanzibar.Bi. Maryam Juma Sadala Mabodi.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Bi. Maryam Juma Sadala (Mabodi) akitowa maelezo ya Kitaalam wakati wa hafla ya ufunguzi wa Maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wakulima Nanenane Zanzibar, yanayofanyika katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, (kulia kwa Rais) Kaimu Waziri wa Kilimi Maliasi Mifugo na Uvuvi Mhe.Haji Omar Kheri na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Ufundi Wakala wa Serikali Huduma za Matreka na Kilimo Zanzibar Ndg.Mohammed Omar Mohammed.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Bahari wa Kampuni ya Uvuvi Zanzibar (ZAFICO) Ndg. Said Mwalim akitowa maelezo ya aina ya mishipi wanayotumia katika uvuvi wa Bahari Kuu, wakati akitembelea maonesho ya Siku ya Wakulima Nanenane yanayofanyika katika viwanj vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja,(kushoto kwa Rais ) Mkurugenzi Kampuni ya Uvuvi Zanzibar (ZAFICO) Ndg. Zahran Kassim El- Kharousy.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiangalia moja ya Ndoana inayotumika katika Uvuvi wa Bahari Kuu wakati akitembelera banda la maonesho la Kampuni ya Uvuvci Zanzibar (ZAFICO) wakati wa Ufunguzi wa Siku ya Wakulima Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Kizimambini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja NA (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar.Mhe Hamad Rashid Mohammed na Baharani wa Kampuni ya Uvuvi Zanzibar Ndg. Said Mwalim.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akitembelea mabanda ya Maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wakulima ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Kizimbani Wiliya ya Magharibi “B” Unguja, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Mhe. Hamad Rashid Mohammed na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud Mohammed na (kulia kwa Rais) Profesa Saleh Idrissa.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mkuu wa Kilimo JKU Kanali Jabir Saleh Simba, wakati akitembelera maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wakulima Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha na Ikulu) 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiuliza maswali wakati alipokuwa akitembelea banda la maonesho la Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Zanzibar Dk. Kassim Gharib.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wananchi katika hafla ya Ufunguzi wa Maonesho ya Siku ya Wakulima Zanzibar, yanayofanyika katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 4/8/2020.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad