Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiondoka msibani pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli mara baada ya
kutoa pole kwa familia ya Marehemu Mzee Benjamin William Mkapa nyumbani
kwa Marehemu Masaki jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment