Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimfariji Mjane wa
marehemu Mzee Job Lusinde Bibi Sarah J. Lusinde alipofika nyumbani kwa
marehemu Uzunguni Jijini Dodoma leo Julai 09,2020 kwa ajili ya kutoa
pole kwa familia ya marehemu mzee Job Lusinde.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha
kumbukumbu ya maombolezo ya kifo cha Marehemu Balozi Job Lusinde
nyumbani kwa marehemu Uzunguni Jijini Dodoma leo Julai 09,2020
alipofika kwa ajili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu mzee Job
Lusinde. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments:
Post a Comment