HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 8, 2019

KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA JAJI MSTAAFU DE MELLO, VIONGOZI WENGINE BUNGENI JIJINI DODOMA


 Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akizungumza na Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Joaquine De Mello alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akisalimiana na Viongozi wa Taasisi ya Vyombo vya habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) kabla ya kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kikao hicho kilihusu ushirikiano wa pamoja kati ya Ofisi ya katibu wa Bunge na MISA TAN
 Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akizungumza na Viongozi wa Taasisi ya Vyombo vya habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) katika kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kikao hicho kilihusu ushirikiano wa pamoja kati ya Ofisi ya katibu wa Bunge na MISA TAN
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (katikati) katika picha ya pamoja na Viongozi wa Taasisi ya Vyombo vya habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) baada ya kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kikao hicho kilihusu ushirikiano wa pamoja kati ya Ofisi ya katibu wa Bunge na MISA TAN, ugeni huo ulioongozwa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyombo vya habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania, Ndg. Gasirigwa Sengiyumva (wa pili kulia)

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad