HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 7, 2019

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Azungumza na Ujumbe wa Taasisi ya China National Research Institute of Food &Fermentation Industries

KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Ndg. Salum Maulid Salum akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya China National Research Institute of Food &Fermentation Industries ukiongozwa na Mkurugenzi Mkuu Bw. Dong Jianhui kulia akiwa na ujumbe wake wakati wa mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Rais leo 7-10-2019.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad