Ofisi ya Mkoa wa Kihuduma wa Kawe wa Mamlaka ya majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) wameadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kukata keki na wateja wao.
Maadhimisho hayo ni katika kuhakikisha wiki ya huduma kwa wateja inaenda sambamba na kuwasogeza wateja karibu zaidi.
Wiki ya huduma kwa wateja imeanza Oktoba 7 na Kumalizika Oktoba 11 na maadhimisho yake ni kila mwanzoni mwa mwezi Oktoba kila mwaka.
Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango akikata keki na wafanyakazi wa DAWASA mkoa wa Kawe wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa
wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019 na maadhimisho
yamefanyika katika ofisi za DAWASA Kawe leo jijini Dar es Salaam.
Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango(kushoto) akilisha keki Afisa Biashara DAWASA mkoa wa Kawe Jimmy Chuma(kulia) wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.
Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango(kushoto) akilisha keki Afisa wa DAWASA mkoa wa Kawe, Violet Mgeta(kulia) wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.
Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango(kushoto) akilishwa keki na Afisa wa DAWASA mkoa wa Kawe, Peresy Mzonya(kulia) wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.
Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango(kushoto) akiwalisha keki wafanyakazi wa DAWASA mkoa wa Kawe wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.
Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango akiwa kwenye icha ya pamoja na wafanyakazi wa DAWASA mkoa wa Kawe wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.
Wafanyakazi wa DAWASA mkoa wa Kawe wakijipiga "selfie" kwa furaha ya kuwahudumia wateja wao.
No comments:
Post a Comment