Mwenyekiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Titus Kamani akijadiliana masuala
mbalimbali ya uendelezaji wa Sekta ya Ushirika alipotembelea mabanda katika
maonesho ya Nanenane Mkoani Simiyu kulia Bw. Agustino Mbulumi Mkurugenzi wa
uendeshaji wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), kushoto ni Bw. Mombeki Baregu Mkuu
wa Kilimo na Huduma za Fedha Vijijini wa Mfuko wa Kuendeleza Sekta ya Fedha
Tanzania (FSDT).
Mrajis Msaidizi wa Mkoa wa Simiyu Bw. Ibrahim Kadudu akitoa maelezo kuhusu kazi na
majukumu ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania kwa wananchi waliotembelea
banda la Tume, pamoja nae ni watumishi wa Tume katika siku ya uzinduzi rasmi wa
maonesho ya sikukuu ya wakulima Nanenane kwenye viwanja vya Nyakabindi Mkoani
Simiyu.
Afisa Ushirika wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Bw. Boniface Moshi akitoa mafunzo
ya masuala ya ushirika katika maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika kwenye
viwanja vya Nyakabindi Mkoani Simiyu
No comments:
Post a Comment