HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 24, 2019

Serikali kutumia Rasilmali Watu wa Bahari wanaozalishwa nchini-Kwaadikwa

Na Chalila Kibuda , Michuzi TV
Serikali imesema inaendelea  kujenga Miundumbinu mbalimbali ikiwemo vivuko ili kusaidia mabaharia wanaozalishwa nchini kuweza kutumika katika vivuko hivyo.

Hayo ameyasema Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano- Ujenzi Elias Kwaandikwa wakati ya Maa kizungumza katika maadhimisho siku ya mabaharia Afrika yaliyofanyika katika Chuo cha Mabaharia Dar es Salaam (DMI) jijini Dar es Salaam.

Kwaandikwa amesema katika kuadhimisha siku ya mabaharia ni pamoja na kuangalia changamoto katika sekta katika vyombo vya Bahari.
Amesema Chuo kinazalisha wataalam wenye umahiri hivyo kinapunguzia serikali gharama ya kuchukua.
 Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kuandikwa akipata Mkufuzi Msaidizi wa Chuo cha Bahari cha Dar es Salaam (DMI) Elia Mahenge namna ya usalama katika Bahari katika maadhimisho ya Siku ya Bahari Afrika yaliyofanyika Viwanja vya Chuo cha Bahari Dar es Salaam
 Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kuandikwa akipata Mkufuzi Msaidizi wa Chuo cha Bahari cha Dar es Salaam (DMI) Elia Mahenge namna ya usalama katika Bahari katika maadhimisho ya Siku ya Bahari Afrika yaliyofanyika Viwanja vya Chuo cha Bahari Dar es Salaam
 Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano-Ujenzi Elias Kuandikwa akipata maelezo kutoka Kwa Afisa Habari wa Wakala wa Meli nchini (TASAC) katika maadhimisho ya Siku Bahari Afrika yaliyofanyika Viwanja vya Chuo cha Bahari Dar es Salaam jijini Dar es Salaam.
 Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kuandikwa akipata maelezo kutoka Kwa Mkufuzi wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam. Mhandisi Regina Mbilinyi kuhusiana na usalama katika Bahari namna ya kutumia bidhaa katika maadhimisho ya Siku ya Bahari Afrika yaliyofanyika Viwanja vya Chuo cha Bahari Dar es Salaam.
 Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kuandikwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na maadhimisho ya Siku ya Bahari Afrika yaliyofanyika Viwanja Chuo cha Bahari Dar es Salaam.
Wanachama wa Chama cha Bahari Wanawake katika maadhimisho ya Siku ya Bahari Afrika.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad