HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 6, 2019

IGP SIRRO AKUTANA NA WATUMISHI RAIA NA KUFANYA TATHIMINI YA UTENDAJI WA MWAKA JANA NDANI YA JESHI LA POLISI MKOA WA DAR ES SALAAM

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na watumishi raia wa mkoa wa Dar Es Salaam ambao hawapo pichani katika kikao cha utendaji kazi pamoja na kufanya Tathimini ya mwaka jana ili kuweza kutatua changamoto zilizokuwepo zisijirudie kwa mwaka huu. Picha Na Jeshi na Polisi.
 Mkuu Wa Jeshi La Polisi Nchini IGP Simon Sirro,  Akimkabidhi Zawadi Ya Utendaji au utumishi Bora Mtumishi Raia Ndani Ya Jeshi La Polisi Aliefahamika Kwa Jina La Mwasi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akiwa katika picha ya pamoja na Makamishna wa Polisi na watumishi Raia wa Jeshi hilo baada ya kumalizika kwa kikao cha utendaji kazi. Picha na Jeshi na Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad