HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 13, 2019

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA


Spika wa Bunge, Mhe. Job Job Ndugai akiongoza Mkutano wa Kumi na Tano kikao cha Arobaini na Tano leo tarehe 13 Juni, 2019 Bungeni Jijini Dodoma. Katika Mkutano huo Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Phillip Mipango alitoa taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2019/2020.

aziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Phillip Mipango akitoa taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2019/2020  leo tarehe 13 Juni, 2019 katika Mkutano wa Kumi na Tano kikao cha Arobaini na Tano Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (aliekaa) akizungumza na Mbunge wa Mlalo, Mhe. Rashid Shangazi leo tarehe 13 Juni, 2019 katika Mkutano wa Kumi na Tano kikao cha Arobaini na Tano Bungeni Jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Cpt. Mstaafu George Mkuchika (kulia) akizungumza na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Joseph Mbilinyi leo tarehe 13 Juni, 2019 katika Mkutano wa Kumi na Tano kikao cha Arobaini na Tano Bungeni Jijini Dodoma.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ikuwo kutoka Makete Mkoa wa Njombe (kulia), Wanafunzi wa Shule ya Msingi St. Joseph kutoka Jijini Dar es Salaam wakiwa katika Mkutano wa Kumi na Tano kikao cha Arobaini na Tano Bungeni Jijini Dodoma.

Watendaji Wakuu kutoka Wizara ya Fedha, Gavana wa Benki Kuu na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya fedha wakiwa katika jukwaa la Spika wakifuatilia taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2018 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2019/2020 leo tarehe 13 Juni, 2019 katika Mkutano wa Kumi na Tano kikao cha Arobaini na Tano Bungeni Jijini Dodoma. Taarifa hiyo imewasilishwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Phillip Mipango

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad