HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 24, 2019

WADAU WA HAKI JINAI WAKUTANA KWA MABORESHO JIJINI DODOMA

 Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Balozi Augustine Mahiga akisoma hotuba yake kabla ya kufungua kikao kazi cha Maboresho ya Mfumo wa Haki jinai.
 Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akimkaribisha Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Balozi Augustine Mahiga kufungua Kikao kazi Wakuu wa Taasisi za Haki Jinai kuhusu Maboresho ya Mfumo wa Haki Jinai kinachofanyika katika Hoteli ya St. Gasper jijini Dodoma.
 Baadhi ya washiriki wa kikao kazi cha Maboresho ya Mfumo wa Haki Jinai wakimsikiliza mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa kikao hicho.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Balozi Augustine Mahiga akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kikao Kazi cha Maboresho ya Mfumo wa Haki Jinai.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad