HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 21, 2019

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

 Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza na watumishi wa ofisi yake mara baada ya watumishi hao kukamilisha zoezi la usafi wa mazingira eneo la Mtumba jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2019.
 Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifanya usafi katika ofisi yao iliyopo Mji wa Serikali, eneo la Mtumba jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2019.
Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Fabian Pokela akimwagilia maji moja ya mti uliopandwa katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora eneo la Mtumba jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2019.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad