HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 12, 2019

RAIS DKT. SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI WA KIBELE KATIKA FUTARI NYUMBANI KWAKE

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dkt. Ali Mohameed Shein, akijumuika na Wananchi wa Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati Unguja katika futari iliofanyika nyumbani kwake Kibele Unguja, kushoto Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji Khamis na kulia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.(Picha na Ikulu)
 BAADHI ya Wananchi wakihudhuria futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, nyumbani kwake Kibele Wilaya ya Kati Unguja Mkoa wa Kusini.(Picha na Ikulu)
 WANANCHI wa Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati Unguja wakijumuika katika Futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, nyumbani kwake Kibele Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)
 WANANCHI wa Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati Unguja wakijumuika katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein nyumbani kwake Kibele Mkoa wa Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)
 MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuika na Wananchi wa Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati Unguja katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, iliofanyika nyumbani kwake Kibele, kushoto Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Balozi na Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Makaazi Salama Aboud Talib na kulia Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Dkt. Sira Ubwa.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia Dua, ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleoh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya futari iliofanyika Kibele Wilaya ya Kati Unguja, kulia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid.(Picha na Ikulu) 
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia Dua, baada ya kumalizika hafla ya futari, ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar kushoto Sheikh Saleh Omar Kabi, Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji Khamis na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu na kulia Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid.(Picha na Ikulu)
 Mohamed Ali Mohamed akitowa neno la shukrani kwa niaba ya Familia ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk,Ali Mohamed Shein, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari ilioandaliwa kwa Wananchi wa Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati Unguja nyumbani kwake Kibele.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Waziri Asiyekuwa na Wizara Maalum Mhe. Soud Said Soud, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliofanyika nyumbani kwake Kibele Wilaya ya Kati Unguja.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsalimia Mtoto Sleyum Khamis mkaazi wa Kibele Wilaya ya Kati Unguja, baada ya kumalizikwa kwa Futari aaliuowaandalia Wananchi wa Kibele iliofanyika nyumbani kwake Kibele Mkoa wa Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na kuagana na Wananchi wa Kijiji cha Kibele, baada ya kumalizika kwa Futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekitri wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, nyumbani kwake Kibele Wilaya ya Kati Unguja.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad