HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 24, 2019

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake leo bungeni Jijini Dodoma.
 Wageni Mbali mbali wakifuatilia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika Mkutano wa 15 Kikao cha 15 Kilichofanyika leo Bungeni Jijini Dodoma.

 Katibu wa Bunge la Tanzania na Katibu wa Kanda Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akielezea jambo uku akisikilizwa na Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia Mbwewe (katikati) na Katibu wa Bunge la Jimbo la Free State, Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wahariri ya Jarida la Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika (SCOTT Africa Journal), Ndg. Thabo Mofokeng ndani ya Ukumbi wa Bunge leo Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa pili kulia) akimkaribisha Katibu wa Bunge la Jimbo la Free State, Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wahariri ya Jarida la Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika (SCOTT Africa Journal), Ndg. Thabo Mofokeng (kushoto) pale ugeni kutoka Chama cha Makatibu Mezani (SOCATT Kanda ya Afrika) wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Katibu wa Bunge la Tanzania na Katibu wa Kanda Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Stephen Kagaigai na Kulia ni Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia Mbwewe
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia Mbwewe (katikati) na Katibu wa Bunge la Jimbo la Free State, Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wahariri ya Jarida la Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika (SCOTT Africa Journal), Ndg. Thabo Mofokeng walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa tatu kushoto) akutana na kufanya mazungumzo na ugeni kutoka Chama cha Makatibu Mezani (SOCATT Kanda ya Afrika) wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Ugeni huo ulioongozwa na Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia Mbwewe (kushoto kwake)
  Spika wa Bunge,  Job Ndugai (kushoto) akikabidhiwa zawadi ya asali mbili kutoka Zambia na zawadi ambayo haijafunguliwa na  Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia Mbwewe alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Chama cha Makatibu Mezani (SOCATT Kanda ya Afrika) wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, walioongozwa na Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia Mbwewe (wa pili kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Katibu wa Bunge la Tanzania na Katibu wa Kanda Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Stephen Kagaigai

 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akutana na kufanya mazungumzo na Kamishna wa Bima kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima (TIRA), Dkt. Baghayo Saqware (katikati) alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Afya AAR Tanzania na Mdau wa TIRA, Ndg. Violet Modechai.
Spika wa Bunge, Job Ndugaiakutana na kufanya mazungumzo na ugeni kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima (TIRA) wakiongozwa na Kamishna wa Bima, Dkt. Baghayo Saqware (kushoto kwake) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi milioni 33 na Kamishna wa Bima kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima (TIRA), Dkt. Baghayo Saqware pale ugeni kutoka Mamlaka hiyo ulipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kwa ajili ya Ujenzi wa vyoo vya Mfano kwa ajili ya kuboresha Mazingira ya Mtoto wa kike Mashuleni. Katikati ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) na Mbunge wa Urambo, Margaret Sitta.
 Katibu wa Bunge la Tanzania na Katibu wa Kanda Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akizungumza na Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Katibu wa Bunge la Tanzania na Katibu wa Kanda Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia Mbwewe (katikati) na Katibu wa Bunge la Jimbo la Free State, Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wahariri ya Jarida la Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika (SCOTT Africa Journal) ), Ndg. Thabo Mofokeng walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Katibu wa Bunge la Tanzania na Katibu wa Kanda Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Stephen Kagaigai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia Mbwewe (kulia) na Katibu wa Bunge la Jimbo la Free State, Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wahariri ya Jarida la Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika (SCOTT Africa Journal) ), Ndg. Thabo Mofokeng walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Katibu wa Bunge la Tanzania na Katibu wa Kanda Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Stephen Kagaigai (wa pili kushoto) akimsikiliza Katibu wa Bunge la Jimbo la Free State, Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wahariri ya Jarida la Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika (SCOTT Africa Journal) ), Ndg. Thabo Mofokeng wakati wakiongozana wakielekea katika Ofisi ya Spika Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Katibu wa Bunge la Zambia na Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani Kanda ya Afrika, Ndg. Cecilia Mbwewe (kulia) Wengine ni Maafisa kutoka Bunge la Tanzania na Zambia
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad