HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 25, 2019

WASAFIRISHAJI MKAA WAKIWA KAZINI

Mmoja waendesha Pikipiki katika kata ya Mwandege Wilaya ya Temeke mkoani Pwani akiwa amepakia Mzigo wa Mkaa kuzidi uwezo wa chombo chake akiwa hawajavaa kofia ngumu akipita katika Barabara ya Kilwa kuelekea Dar es Salaam, jambo ambalo ni hatarisha kwa usalama wake.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV).
Wasafirishaji wa mkaa kwa kutumia pikipiki wakikatiza katika viunga vya Mwandege.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad