HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, April 6, 2019

WAHANDISI WATEMBELEA SHULE ZA MANYARA KUHAMASISHA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI

 Mhandisi kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Kitengo maalum cha ushirikishwaji wa wanawake katika kazi za barabara, Joyce Mbunju, akielekeza jambo kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kiteto, mkoani Manyara, kuhusu umuhimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati. 
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Dirma, mkoani Manyara, wakimsikiliza Mhandisi kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Kitengo maalum cha ushirikishwaji wa wanawake katika kazi za barabara, Judith Aron (hayupo pichani), alipofika shuleni hapo kuhamasisha umuhimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati.
 Wahandisi kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Kitengo maalum cha ushirikishwaji wa wanawake katika kazi za barabara, wakigawa zawadi za madaftari na kalamu kwa mwanafunzi Esther Paschal wa Shule ya Sekondari Dirma, mkoani Manyara, aliyefanya vizuri katika masomo ya Sayansi. 
Wahandisi wanawake kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Kitengo maalum cha ushirikishwaji wa wanawake katika kazi za barabara, wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya kutwa ya Babati, mkoani Manyara, mara baada ya kutoa elimu ya umuhimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati kwa wanafunzi hao.
Picha na WUUM


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad