Meneja wa Vodacom Tanzania (PLC), mkoani Mtwara, Charles Minungu (kushoto) akiwa na meneja wa vodashop Mtwara, Frank Daud wakimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi 500,000/-mmoja wa washiriki wa kampeni ya Vodacom M-Pesa Tuzo Points, Eladius Lutha mkazi wa Naliendele katika hafla iliyofanyika Mtwara. Kupitia kampeni hii wateja 140 wa Vodacom walizawadiwa shilingi 25,000/-kila mmoja na baada ya kampeni kumalizika wateja 10 wa Vodacom nchi nzima watazawadiwa shilingi 500,000/-kila mmoja
Tuesday, April 2, 2019
Mshiriki wa kampeni ya Vodacom M-Pesa Tuzo Points azawadiwa fedha
Tags
# BIASHARA
# HABARI ZA BIASHARA
HABARI ZA BIASHARA
Labels:
BIASHARA,
HABARI ZA BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment