Naibu Makamu Mkuu Tafiti na Maarifa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Cuthbert Kimambo (mwenye Tai) akiwa na Mkurugenzi wa Tafiti na Uchapishaji Dkt. Pendo Balangwa wakipokea maaelezo kutoka kwa wataalamu wa Ndaki ya Uhandisi na Teknolojia (COET) walipotembelea banda lao Katika Kampasi ya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Naibu Makamu Mkuu Tafiti na Maarifa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Cuthbert Kimambo (mwenye Tai) akiwa na Mkurugenzi wa Tafiti na Uchapishaji Dkt. Pendo Balangwa wakiangalia na kupokea maelezo ya mtambo wa kupoza hewa kutokwa kwa mmoja wa wanafunzi wa shahada ya juu katika Ndaki ya Uhandisi na Teknolojia (COET) katika wiki ya Tafiti ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Wanafunzi na wageni waliofika katika maonesho ya tafiti zilizofanywa na wanataaluma, pamoja na wanafunzi wake ili tafiti hizo zitumike kutatua changamoto zilizopo nchini hususani katika suala zima la maendeleo.
No comments:
Post a Comment