HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 22, 2019

UONGOZI WA BUNGE SPORTS CLUB WAITAKIA HERI TIMU YA TAIFA STARS

Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya Bunge (Bunge Sports Club), William Ngereja akizungumza na waandishi wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars) katika mchezo wake wa kufuzu Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 2019 Jijini Dar es Salaam, Mkutano huo ulifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Kocha Mkuu wa Timu hiyo, Mhe. Vanance Mwamoto na Katibu Wa Timu, Ndugu Waziri Kizingiti. (Picha na Ofisi ya Bunge
 Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya Bunge (Bunge Sports Club), William Ngereja akizungumza na waandishi wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars) katika mchezo wake wa kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 2019 Jijini Dar es Salaam, Mkutano huo ulifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad