HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 8, 2019

TSC yashiriki Maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani

 Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wakiwa katika hali ya furaha wakati wa Maandamano ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Machi 8, 2019 jijini Dodoma.
 Wafanyakazi wa TSC wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani jijini Dodoma.
 Watumishi kutoka Taasisi mbalimbali wakiwemo wa Tume ya Utumishi wa Walimu wakiwa katika Maandamano ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika  jijini Dodoma.

Wafanyakazi wa TSC wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad