HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 8, 2019

RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN, AZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA KAMPUNI YA TOUCHROAD GROUP YA CHINA

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China. Bwa.He.Liehui, aliupofika Ikulu Zanzibar, leo 8-3-2019, kwa ajili ya mazungumzo.kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania Jaji Thomas Mihayo.(Picha na Ikulu) 
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, kushoto  Bwa, He.Liehui, akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania Jaji Thomas Mihayo.wakiwa katika mazungumzo hayo Ikulu Zanzibar,leo 8-3-2019.(Picha na Ikulu)

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania Jaji Thomas Mihayo, akimtambulisha Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bwa, He. Liehui, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo,8-3-2019,(Picha na Ikulu) 


/RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania Jaji Thomas Mihayo, wakitoka  katika ukumbi Ikulu baada ya kumaliza mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China Bwa, He.Liehui,leo 8-3-2019.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad