HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 11, 2019

SPIKA WA BUNGE LA EAC AKUTANA NA TAASISI YA DORIS MOLLEL KUZUNGUMZIA WATOTO NJITI

Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Martin Ngoga (katikati) akipokea picha maalum yenye kuonyesha uhalisia wa Mtoto Njiti, kutoka kwa Muanzilishi wa Taasisi ya Doris Mollel na Balozi wa Watoto Njiti nchini, Doris Mollel (kulia) mara baada ya kukutana na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayohusu hali ya Watoto Njiti kwa ukanda wa Afrika Mashariki, katika kikao kilichofantika kwenye ukumbi wa Baraza la Wawakilishi, Zanzibar mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Daktari bingwa wa watoto wachanga kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Augustine Massawe aliyeambatana na Taasisi hiyo.
Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Martin Ngoga (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukutana na Taasisi ya Doris Mollel kuzungumzia mambo mbalimbali yanayohusu hali ya Watoto Njiti kwa ukanda wa Afrika Mashariki, katika kikao kilichofantika kwenye ukumbi wa Baraza la Wawakilishi, Zanzibar mwishoni mwa wiki. Wa pili kushoto ni Muanzilishi wa Taasisi ya Doris Mollel na Balozi wa Watoto Njiti nchini, Doris Mollel na kulia ni Daktari bingwa wa watoto wachanga kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Augustine Massawe aliyeambatana na Taasisi hiyo.
Muanzilishi wa Taasisi ya Doris Mollel na Balozi wa Watoto Njiti nchini, Doris Mollel akizungumza jambo wakati wa kikao na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Martin Ngoga, kuzungumzia mambo mbalimbali yanayohusu hali ya Watoto Njiti kwa ukanda wa Afrika Mashariki, katika kikao kilichofantika kwenye ukumbi wa Baraza la Wawakilishi, Zanzibar mwishoni mwa wiki.
Daktari bingwa wa watoto wachanga kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Augustine Massawe akizungumza wakati akitolea ufafanuzi hali ya Watoto Njiti katika kikao cha pamoja na Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki.




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad