HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 28, 2019

SPIKA NDUGAI AWEKA JIWE LA MSINGI TAWI LA UBAGO WILAYA YA KATI MKOA WA KUSINI UNGUJA

 Spika wa Bunge, Mjumbe wa Kamati Kuu CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kaskazini na Kusini Unguja Mhe. Job Ndugai akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Ofisi ya CCM Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 28 Machi, 2019 Mjini Zanzibar.
 Spika wa Bunge, Mjumbe wa Kamati Kuu CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kaskaizni na Kusini Unguja Mhe. Job Ndugai akiweka jiwe la msingi Tawi la Ubago Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 28 Machi, 2019 Mjini Zanzibar.
 Spika wa Bunge, Mjumbe wa Kamati Kuu CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kaskazini na Kusini Unguja Mhe. Job Ndugai (katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA), Ndg. Ali Abdu Ali (kushoto) wakati wa utandazaji wa mabomba ya maji safi na salama, kutoka kisima cha Bambi kuelekea Kijiji cha Uroa Jimbo la Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 28 Machi, 2019 Mjini Zanzibar.
 Spika wa Bunge, Mjumbe wa Kamati Kuu CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kaskazini na Kusini Unguja Mhe. Job Ndugai akiongoza Waheshimiwa Wabunge kufukia bomba la maji wakati wa utandazaji wa mabomba ya maji safi na salama, kutoka kisima cha Bambi kuelekea Kijiji cha Uroa Jimbo la Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 28 Machi, 2019 Mjini Zanzibar.

Spika wa Bunge, Mjumbe wa Kamati Kuu CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kaskazini na Kusini Unguja Mhe. Job Ndugai akizungumza na Wajumbe wa Kamati za Siasa za Halmashauri Kuu za CCM, pamoja na Kamati za utekelezaji Jumuiya za CCM ngazi ya Mkoa na Wilaya katika kikao kilichofanyika leo tarehe 28 Machi, 2019 Mkoa wa Kusini Unguja Mjini Zanzibar.
 Wajumbe wa Kamati za Siasa za Halmashauri Kuu za CCM Mkoa wa Kusini Unguja, pamoja na Kamati za utekelezaji Jumuiya za CCM ngazi ya Mkoa na Wilaya wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mjumbe wa Kamati Kuu CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kaskazini na Kusini Unguja Mhe. Job Ndugai (hayupo kwenye picha) katika kikao kilichofanyika leo tarehe 28 Machi, 2019 Mkoa wa Kusini Unguja Mjini Zanzibar.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad