Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha
Mtangazaji wa Clouds FM, Efraim Kibonde wakati alipokwenda nyumbani kwao
marehemu, Mbezi Beach jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia,
leo Machi 9, 2019.
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili nyumbani kwa alieyekuwa mtangazaji wa Clouds FM, Merehemu Efraim Kibonde leo Mbezi Beach jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia, Machi 9, 2019. Wa kwanza kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe na kushoto ni Mkurugenzi wa Clouds Media,
Joseph Kusaga
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akitoa pole kwa Mkurugenzi wa Clouds Media,
Joseph Kusaga alipowasili nyumbani alieyekuwa
mtangazaji wa Clouds FM, Merehemu Efraim Kibonde leo Mbezi Beach jijini
Dar es salaam kutoa pole kwa familia, Machi 9, 2019. Kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe
No comments:
Post a Comment