HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 1, 2019

NMB YAWAKABIDHI TIKETI WASHINDI WA ‘MASTABATA’ SAFARI YA DUBAI


Mfamasia wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Enstern Ngao (katikati), akikabidhiwa mfano wa tiketi ya ndege ya kwenda na kurudi Dubai baada ya kujishindia bahati nasibu ya Benki ya NMB ya MASTA BATA hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Wanao mkabidhi kulia ni Philbert Casmir na Manfredy Kayala maofisa wa NMB kitengo cha huduma za kadi.
Meneja Huduma za Kadi wa Benki ya NMB, Bw. Philbert Casmir (kulia) akikabidhiwa mfano wa tiketi ya ndege ya kwenda na kurudi Dubai Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Simon Chacha (kushoto) baada ya kujishindia bahati nasibu ya MASTABATA iliyokuwa inaendeshwa na Benki ya NMB hivi karibuni.
Washindi hao Enstern Ngao (wa pili kushoto), pamoja na Simon Chacha (wa pili kulia) wakikabidhiwa mfano wa tiketi zao za ndege kwenda na kurudi Dubai baada ya kujishindia bahati nasibu ya Benki ya NMB iliyojulikana kama MASTABATA hivi karibuni. Wanao wakabidhi wa kwanza kulia ni Philbert Casmir na Manfredy Kayala (kushoto) maofisa NMB kutoka kitengo cha huduma za kadi.
Meneja Huduma za Kadi wa Benki ya NMB, Bw. Manfredy Kayala (katikati) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kabla ya kuwakabidhi tiketi hizo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Simon Chacha (kushoto) na Mfamasia wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Enstern Ngao (kulia) baada ya kujishindia bahati nasibu ya MASTABATA iliyokuwa inaendeshwa na Benki ya NMB hivi karibuni.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Simon Chacha (katikati) akifurahia tiketi yake mara baada ya kukabidhiwa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad