HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 8, 2019

KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YATOA MAFUNZO ARUSHA


  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Mhe. George Simbachawene akifungua mafunzo kwa Kamati hiyo kuhusu mbinu na utaratibu wa kufuatilia utekelezaji wa mipango na programu mbalimbali za Serikali. Mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha yamedhaminiwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) chini ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP II).
 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, wakifuatilia mada katika mafunzo kuhusu mbinu  na utaratibu wa kufuatilia utekelezaji wa mipango na programu mbalimbali za Serikali. Mafunzo hayo yaliyofanyika Jijini Arusha yamedhaminiwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) chini ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP II).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad