HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 25, 2019

UNESCO yawakutanisha wadau kujadili mpango mkakati wa mradi wa BEAR ll

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk. Leonard Akwilapo(katikati) akifungua kikao cha kujadili pamoja na kupitisha mpango mkakati wa mradi wa BEAR ll wenye lengo la kuleta elimu bora kwa mataifa ya Afrika kwenye mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Bw. Tirso Dos Santos
 Mkuu wa Kitengo cha Elimu katika Shirika la UNESCO nchini, Faith Shayo akiwasilisha mpango mkakati wa mradi wa BEAR ll kwa wadau kutoka MoEST, Wizara wa Kilimo, UNESCO, NACTE, TCCA, ATE, VETA pamoja wadau wa maendeleo  wenye lengo la kuleta elimu bora kwa mataifa ya Afrika kwenye mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam 
Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Bw. Tirso Dos Santos(kushoto) akitolea ufafanuzi baadi ya vipengele vya mpango mkakati wa mradi wa BEAR ll wenye lengo la kuleta elimu bora kwa mataifa ya Afrika kwenye mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk. Leonard Akwilapo.
Mkurugenzi wa Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi wa Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia, Dk. Noel Mbonde(kulia) akichangia mada wakati wa majadiliano pamoja na kupitisha mpango mkakati wa mradi wa BEAR ll wenye lengo la kuleta elimu bora kwa mataifa ya Afrika kwenye mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam.
Ofisa mipango ya Elimu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Jennifer Kotta  akichangia mada wakati wa majadiliano pamoja na kupitisha mpango mkakati wa mradi wa BEAR ll wenye lengo la kuleta elimu bora kwa mataifa ya Afrika kwenye mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam.



Baadhi ya wadau kutoka MoEST, Wizara wa Kilimo, UNESCO, NACTE, TCCA, ATE, VETA pamoja wadau wa maendeleo wakichangia mada wakati wa kujadili mpango mkakati wa mradi wa BEAR ll wenye lengo la kuleta elimu bora kwa mataifa ya Afrika kwenye mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Kitengo cha Elimu katika Shirika la UNESCO nchini, Faith Shayo akijibu maswali ya  wadau wakati wa kujadili mpango mkakati wa mradi wa BEAR ll wenye lengo la kuleta elimu bora kwa mataifa ya Afrika kwenye mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam.
Majadiliano yakiendelea
Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk. Leonard Akwilapo  akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki kutoka MoEST, Wizara wa Kilimo, UNESCO, NACTE, TCCA, ATE, VETA pamoja wadau wa maendeleo wakati wa kikao cha kujadili pamoja na kupitisha mpango mkakati wa mradi wa BEAR ll wenye lengo la kuleta elimu bora kwa mataifa ya Afrika kwenye mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad