HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, February 16, 2019

MAKAMU WA RAIS AANZA ZIARA MKOANI SINGIDA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Dkt. Rehema Nchimbi mara baada ya kuwasili wilayani Manyoni na kupokea taarifa ya mkoa katika ukumbi wa Halmashauri Manyoni ikiwa siku ya kwanza ya ziara yake ya kuhamasisha na kukagua shughuli za kimaendeleo mkoani humo.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivishwa skafu na vijana wa skauti mara baada ya kuwasili wilayani Manyoni, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Dkt. Rehema Nchimbi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki Mhe. Daniel Mtuka mara baada ya kuwasili wilayani Manyoni tayari kwa ziara ya kukagua na kuhamasisha shughuli za kimaendeleo mkoani Singida

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad