HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 2, 2019

WAAMUZI 18 WA TANZANIA WAKABIDHIWA BEJI YA FIFA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limetuma orodha ya Waamuzi wa Tanzania watakaochezesha mechi za kimataifa wakiwa na beji ya FIFA. 


Katika orodha hiyo wapo waamuzi wa katikati na Waamuzi wasaidizi wa Kiume na wa Kike. Aidha wapo pia waamuzi watakaochezesha soka la Ufukweni.

Waamuzi wa katikati Wanaume 
1 NASSORO Mfaume Ali 
2 SASII Hery Ally
3 MWANDEMBWA Emmanuel Alphonce
4 SAANYA Martin Elifhas 


Waamuzi Wasaidizi
1 CHACHA Ferdinand 
2 KINDULI Mgaza Ally 
3 LILA Soud Iddi 
4 KOMBA Frank John 
5 MKONO Mohamed Salim 
6 HAULE Mbaraka Haule 


Waamuzi wa Soka la Ufukweni 
1 MSILOMBO Jackson Steven 
2 MWAMBONEKO Geofrey Tumaini 


Waamuzi wa katikati Wanawake 
1 KABAKAMA Jonesia Rukyaa 
2 CHIEF Florentina Zabron 


Waamuzi wasaidizi Wanawake
1 MDUMA Hellen Joseph 
2 WAMALA Grace 
3 BALAMA Janet Charles
4 MTWANA Dalila Jafari

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad