HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 1, 2019

VODACOM wagawa Tuzo Points Moshi mjini

 Wafanyakazi wa kampuni ya Vodacom Tanzania wakiwazawadia wateja wa mtandao huo kutoka Moshi Mjini Tuzo Points pamoja na zawadi zinginezo. Wateja wa Vodacom hujipatia Tuzo Pointi pale wanaponunua salio au kufanya miamala kupitia M-Pesa. Pointi hizo zinaweza kubadilishwa kuwa fedha, salio au bando. Katika msimu huu wa sikukuu, Vodacom Tanzania inawazawadia wateja wao pointi za Tuzo zenye thamani ya shillingi Bilioni moja.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad