HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 28, 2019

SPIKA NDUGAI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha kamati ya uongozi cha kujadili ratiba za shughuli za Bunge katika Mkutano wa kumi na nne (14) kilichofanyika leo tarehe 28 Januari, 2019 katika ofisi ya Bunge jijini Dodoma, ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa kumi na nne (14) wa Bunge la 11 unaotegemewa kuanza kesho tarehe 29 Januari, 2019 Bungeni Jijini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza  na wajumbe wa kamati ya uongozi wakati wa kikao cha kujadili ratiba za shughuli za Bunge katika Mkutano wa kumi na nne (14) kilichofanyika leo tarehe 28 Januari, 2019 katika ofisi ya Bunge jijini Dodoma. Ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa kumi na nne (14) wa Bunge la 11 unaotegemewa kuanza kesho tarehe 29 Januari, 2019 Bungeni Jijini Dodoma.

Wajumbe kamati ya uongozi wakiwa kwenye kikao cha kujadili ratiba za shughuli za Bunge katika Mkutano wa kumi na nne (14) kilichofanyika leo tarehe 28 Januari, 2019 katika ofisi ya Bunge jijini Dodoma,  ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa kumi na nne (14) wa Bunge la 11 unaotegemewa kuanza kesho tarehe 29 Januari, 2019 Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad