HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 18, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA QATAR OFISINI KWAKE JIJINI DAR ES SALAAM

 Spika wa Bunge Job Ndugai (Mb) akizungumza na Balozi wa Qatar nchini  Abdullah Jassim Al-Maadadi Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
 Balozi wa Qatar nchini Abdullah Jassim Al-Maadadi akimueleza jambo Spika wa Bunge Job Ndugai (Mb) alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
   Spika wa Bunge Job Ndugai (Mb) katika picha ya pamoja na Balozi wa Qatar nchini Abdullah Jassim Al-Maadadi mara baad ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge Job Ndugai (Mb) katika picha ya pamoja na Balozi wa Qatar nchini Abdullah Jassim Al-Maadadi mara baad ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad