HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 9, 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhe. Doto Biteko kuwa Waziri wa Madini. Kabla ya Uapisho huo Mhe. Biteko alikuwa Naibu Waziri wa Madini. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini hati mara baada ya kumuapisha Mhe. Doto Biteko kuwa Waziri wa Madini. Kabla ya Uapisho huo Mhe. Biteko alikuwa Naibu Waziri wa Madini. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi vitendea kazi Mhe. Doto Biteko alipoapishwa kuwa Waziri wa Madini. Kabla ya Uapisho huo Mhe. Biteko alikuwa Naibu Waziri wa Madini. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Zainabu Chaula kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (anayeshughulikia afya). Kabla ya Uapishohuo Dkt. Chaula alikuwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI (afya). Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bi. Dorothy Mwaluko kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uwekezaji). Kabla ya Uapisho huo Bi. Mwaluko alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi vitendea kazi Bi. Dorothy Mwaluko alipoapishwa kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uwekezaji). Kabla ya Uapisho huo Bi. Mwaluko alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Arch. Elius Mwakalinga kuwa Katibu Mkuu Ujenzi. Kabla ya uapisho huo Arch. Mwakalinga alikuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na anachukua nafasi ya Mhandisi Nyamuhanga ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu TAMISEMI. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Prof. Faustin Kamuzora kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera.Kabla ya Uapisho huo Prof. Kamuzora alikuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera na Uratibu na anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Athumani Diwani Msuya ambaye ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Dorothy Gwajima kuwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI (Afya). Kabla ya Uapisho huo Dkt. Gwajima alikuwa Mkurugenzi wa Tiba wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Francis K. Michael kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Kabla ya uapisho huo Dkt. Francis K. Michael alikuwa Mhandiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji Mstaafu Dkt. Steven James kuwa mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha George Daniel Yambesi kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Yahaya Fadhil Mbila kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Daniel Ole Njoolay kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi John Michael Haule kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Khadija Ali Mohamed Mbarak kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Immaculate Peter Ngwale kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Viongozi mbalimbali walioapishwa wakila Kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Umma mara baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam. Hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9,2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza mara baada ya kuwaapisha Viongozi mbalimbali  Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 9, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali,Bunge, Mahakama pamoja na Waziri wa Madini Dotto Biteko,Makatibu wakuu wapya,Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera mpya,na Mwenyekiti na Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma.Mara baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es salaam.Januari 9, 2019. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad