HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 12, 2018

MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA TATU YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA

  Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiMhandisi Stella Manyanya (Mb)  akisikiliza wafanyakazi wa TanTrade namna huduma ya Kliniki ya Biashara inavyofanya kazi ya kutatua changamoto za wafanyabiashara kwenye Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yalifanyika tarehe 5 hadi 9 Desemba, 2018 katika uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K.Nyerere Dar es Salaam 
 Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiMhandisi Stella Manyanya (Mb) akisikiliza wafanyakazi wa TanTrade namna huduma ya Kliniki ya Biashara inavyofanya kazi ya kutatua changamoto za wafanyabiashara kwenye Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yalifanyika tarehe 5 hadi 9 Desemba, 2018 katika uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K.Nyerere Dar es Salaam. Katikakati ni Mhe Constantine Kanyasu (Mb) Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na kushoto ni Bw. Edwin Rutageruka Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade   
 Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiMhandisi Stella Manyanya (Mb)  akitoa maelekezo kwa Bw Edwin Rutageruka, Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade na wafanyakazi wa TanTrade ya namna ya kuwafikia wananchi ili kupata huduma ya Kliniki ya Biashara inayotolewa bure na TanTrade kwenye Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yalifanyika tarehe 5 hadi 9 Desemba, 2018 katika uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K.Nyerere Dar es Salaam. Katikakati ni Mhe Constantine Kanyasu (Mb) Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad