HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 14, 2018

TBL YAZINDUA 'KAMATA USUKANI WA MAISHA YAKO, KUNYWA KISTARAABU'

Kamishina Msaidizi wa Polisi na Mkuu wa Operesheni Kikosi cha Usalma barabarani Makao Makuu ,Abdi Issango,akiongea wakati wa uzinduzi huo,wengine pichani ni Meneja wa Masuala Endelevu wa TBL, Irene Mutiganzi (katikati) na Mrakibu wa jeshi la Polisi na Mkuu wa Kitengo cha elimu Tanzania, Abel Swai.
Mkurugenzi wa Udhibiti Usafiri wa barabara (SUMATRA), Johansen Kahatano ,(Kushoto) akiongea kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ( hawapo pichani) katikati ni Meneja wa Masuala Endelevu wa TBL Group Irene Mutiganzi na Kamishina Msaidizi wa Polisi na Mkuu wa Operaresheni Kikosi cha Usalama Barabarani Makao Makuu ,Abdi Issango.
Meneja Masuala Endelevu wa TBL Irene Mutiganzi akielezea kampeni hiyo kwa waandishi wa habari.
Mkurugenzi wa Udhibiti Usafiri wa barabara (SUMATRA) Johansen Kahatano, akikabidhiwa Stika kuhusiana na kampeni hiyo na Meneja wa Masuala Endelevu wa TBL ,Irene Mutiganzi (wa pili kulia) wakati wa uzinduzi Kushoto ni Mrakibu wa jeshi la Polisi na Mkuu wa Kitengo cha elimu Tanzania, Abel Swai na Kamishina Msaidizi wa Polisi na Mkuu wa Operesheni Makao Makuu ya Kikosi cha Usalama barabarani ,Abdi Issango.
Mmoja wa waandishi waliohudhuria uzinduzi huo, Felister Massae akikabidhiwa stika zenye ujumbe wa kuhamasisha Unywaji wa kistaarabu

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad