Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na
Bibi Sifaeli Kundashuma ambaye ni mmoja walioshiriki katika tukio la
kuchanganya mchanga wakati wa Muungano wa Tanzanyika na Zanzibar.Makamu
wa Rais yupo wilayani Hai kwa ziara ya kukagua na kuhamasisha shughuli
za maendeleo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza na wananchi mara baada ya kufungua wodi ya Wanawake
katika hospitali ya wilaya ya Hai. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments:
Post a Comment