HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 10, 2018

WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA MKOANI DODOMA

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na  Mbunge wa Kibakwe George Simbachawene, wakati akiwasili Wilayani Mpwapwa, akiwa anamalizia ziara yake mkoani Dodoma, Oktoba 10, 2018, katikati ni Mke wa Waziri Mkuu Marry Majaliwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na  Mbunge wa Mpwapwa George Lubeleje, wakati akiwasili Wilayani Mpwapwa, akiwa anamalizia ziara yake mkoani Dodoma, Oktoba 10, 2018, kutoka kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu Marry Majaliwa, Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Jabir Shekimweri, Mbunge wa Kibakwe George Simbachawene, Mkurugenzi wa Katibu Tawala Mkoa Dodoma Maduka Kessy.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikagua ujenzi wa kituo cha afya Kibakwe Wilayani Mpwapwa, akiwa kwenye ziara mkoani Dodoma, Oktoba 10, 2018, kulia ni Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dk. Said Ali Mauji.
 Mke wa Waziri Mkuu Marry Majaliwa, akizungumza na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Godwin Mkanwa, kwenye ziara ya Waziri Mkuu mkoani Dodoma, Oktoba 10, 2018.

 Wananchi wa Kata ya Kibakwe wilayani Mpwampwa wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakati  akiwahutubia wananchi hao, akiwa kwenye ziara mkoani Dodoma, Oktoba 10, 2018. 
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Binilith Mahenge, akizungumza na wananchi wa Kibakwe wilayani Mpwampwa, kwenye ziara ya Waziri Mkuu mkoani Dodoma, Oktoba 10, 2018.

 Mke wa Waziri Mkuu Marry Majaliwa, akiwasalimia wananchi wa Kata ya Kibakwe wilayani Mpwampwa mkoani Dodoma, Oktoba 10, 2018.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na  Mbunge wa Mpwapwa George Lubeleje, baada ya kukagua ujenzi wa kituo cha afya Kibakwe Wilayani Mpwapwa, akiwa kwenye ziara ya mkoa Dodoma, Oktoba 10, 2018.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwahutubia wananchi wa Kibakwe wilayani Mpwampwa, akiwa kwenye ziara mkoani Dodoma, Oktoba 10, 2018.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad