HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 30, 2018

Mwakilishi wa UN WOMEN awasilisha Hati za Utambulisho


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga amepokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mwakilishi wa Shirika la Wanawake la Umoja wa Mataifa (UN WOMEN) Bi. Hodan Addou. Baada ya kupokea Hati hizo Dkt. Mahiga alitumia fursa hiyo kumkaribisha nchini na kumuhakikishia kumpatia Ushirikiano wa kutosha kwa kipindi chote cha utendaji kazi wake hapa nchini.
Dkt. Mahiga akizungumza na Bi. Addou
Bi. Addou akimwelezea jambo Dkt. Mahiga

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad