HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, October 27, 2018

MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AUNGANA NA TIMU YA MPIRA WA KIKAPU KATIKA MICHUANO YA MABENKI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akielekeza jambo wakati alipokuwa akiwapatia mawaidha wachezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu (Basket Ball) ya Benki hiyo, inayoshiriki michuano ya mabenki (Bankers Basketball League) iliyoanza kutimua vumbi leo katika viwanja vya Gymkana, Ocean Road jijini Dar es salaam. Nsekela alifika uwanjani hapo kuwapa hamasa vijana wake na kuwatakia ushindani uliokuwa mwema katika mchezo huo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiepana mkono na mmoja wa wachezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu (Basket Ball) ya Benki hiyo, inayoshiriki michuano ya mabenki (Bankers Basketball League) iliyoanza kutimua vumbi leo katika viwanja vya Gymkana, Ocean Road jijini Dar es salaam.
 Kikosi cha Timu ya Benki ya CRDB. 
 Mchezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu ya Benki ya CRDB, Godwin Semunyu (kushoto) akiwa katika harakati za kutoka ngome ya wapinzani wao Benki ya DTB, katika mchezo uliopigwa leo katika viwanja vya Gymkana, Ocean Road jijini Dar es salaam.

 






















No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad