HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 15, 2018

Kanye West ampa zawadi Rais Museveni alipomtembelea Ikulu

Mapema leo hii rapa Kanye West na Mkewe Kim Kardashian walipomtembelea Ikulu ya Uganda katika jiji la Entebbe ambapo walikutana na Rais Yoweri Museveni na kufanya mazungumzo ya masuala kadhaa kuhusiana na sanaa pamoja na utalii
Rapa  wa Marekani Kanye West(kushoto) akisaini viatu aina ya Yeezy alivyopewa rais wa UgandaYoweri Museveni(kulia) alipomtembelea Ikulu jijini Entebbe leo.
 Rais wa UgandaYoweri Museveni(kulia) akipeana mikono na Rapa wa Marekani Kanye West(kushoto)mara baada ya kupewa zawadi ya viatu vya Yeezy alipomtembelea Ikulu jijini Entebbe leo.
Rais wa UgandaYoweri Museveni(kulia) akimsindikiza mgeni wake Rapa wa Marekani Kanye West(katikati) pamoja na mke wake Kim Kardashian (kushoto) mara baada ya kutembelewa  Ikulu jijini Entebbe leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad