HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 31, 2018

IGP SIRRO AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI KARAGWE MKOANI KAGERA

 Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiwa ameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Godfrey Mheluka, wakati alipowasili wilayani humo mkoani kagera kwa ziara ya kikazi leo 31/10/2018. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Godfrey Mheluka (kulia) muda mfupi baada ya kuwasili wilayani humo mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi. Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad