HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 10, 2018

IGP APOKEA KAMERA MAALUM KUSAIDIA MAPAMBANO YA UHALIFU

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akipokea kamera maalum (Drons) kutoka kwa Mwakilishi wa kampuni ya Kifaru Ifigenia Anselmi walipokutana Makao Makuu ya Polisi ambapo kampuni hiyo imetoa kamera tatu kwa ajili ya kusaidia mapambano ya uhalifu hapa nchini (Picha na Jeshi la Polisi).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad