HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 7, 2018

TAKUKURU BAGAMOYO YATOA ELIMU KWA MADIWANI NA WATENDAJI KUHUSU MAADILI NA RUSHWA

 Mtaalamu wa masuala ya Jinsia, Bajeti kwa Mtazamo wa kijinsia na Haki za Binadamu, Ndg. Gemma Akilimali (aliesimama) akitoa mada kwa Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti katika semina iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
 Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti wakifuatilia mada iliyowasilishwa na Mtaalamu wa masuala ya Jinsia, Bajeti kwa Mtazamo wa kijinsia na Haki za Binadamu, Ndg. Gemma Akilimali (aliesimama) wakati wa semina iliyohusu Bajeti kwa Mtazamo wa Kijinsia leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe. George Simbachawene (kushoto) akizungumza jambo wakati kamati hiyo ikipatiwa semina iliyohusu Bajeti kwa Mtazamo wa Kijinsia, leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mjumbe wa kamati hiyo Mhe. Husna Mwilima. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad