HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 26, 2018

NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI AMJULIA HALI WAZIRI DR. KIGWANGALLA

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, leo 26, 09, 22018 amemjulia hali Wazirii wa Maliasili na Utalii, Dk. Khamis Kingwangalla nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam. Dk. Kigwangalla alipata ajali Augusti 4 mwaka huu wakati akiwa kwenye ziara yake ya kikazi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad