HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 11, 2018

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi. Hamad Masauni, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dkt. Harison Mwakyembe, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Peter Serukamba, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 11, 2018.

6 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifurahia jambo na Mbunge wa Chalinze Rizwani Kikwete, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad