HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 24, 2018

MAKAMU WA RAIS AHIDHULIA KIKAO CHA KAMATI KUU MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA-ZANZIBAR

 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dkt. Ali Mohamed Shein pamoja na Mjumbe wa Kamati Kuu, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Baozi Seif Ali Idd (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Abdallah Juma Mabodi (kulia) wakiwa wamesimama kwa dakika moja kama ishara ya kuwaombea marehemu waliofariki kwenye ajali ya kivuko cha MV. Nyerere kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu Maalumcha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa-Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhi mabati ya kisasa kwa ajili ya tawi la CCM Urusi lililopo Jang'ombe kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Abdallah Juma Mabodi ikiwa ni kutimiza ahadi yake aliyoitoa kwenye ziara yake mapema mawaka huu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad