HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 2, 2018

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA UGENI KUTOKA BUNGE LA KENYA, MKUU WA WILAYA YA BAHI MTEULE LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Moses Cheboi (wa pili kushoto) pale ugeni kutoka Bunge la Kenya ulipomtembelea leo tarehe 02 Agosti, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kutoka kulia ni Wabunge Mhe. Wafula Wamunyinyi na Mhe. Farhiya Haji (kushoto).
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na ugeni kutoka Bunge la Kenya ulipomtembelea leo tarehe 02 Agosti, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Ugeni huo ulioongozwa na Naibu Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Moses Cheboi (kulia kwake).
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Bunge la Kenya ulipomtembelea leo tarehe 02 Agosti 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Naibu Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Moses Cheboi, Mhe. Farhiya Haji (kushoto) na Mhe. Wafula Wamunyinyi


 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mteule, Mhe. Mwanahamisi Mukunda alipomtembelea leo tarehe 02 Agosti, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mteule, Mhe. Mwanahamisi Mukunda alipomtembelea leo tarehe 02 Agosti, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kwa ajili ya kumpongeza na mazungumzo mafupi

(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)
.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad