Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akisalimiana na Naibu Spika
wa Bunge la Kenya, Mhe. Moses Cheboi (wa pili kushoto) pale ugeni kutoka
Bunge la Kenya ulipomtembelea leo tarehe 02 Agosti, 2018 Ofisini kwake
Bungeni Jijini Dodoma. Kutoka kulia ni Wabunge Mhe. Wafula Wamunyinyi na
Mhe. Farhiya Haji (kushoto).
Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na ugeni kutoka Bunge
la Kenya ulipomtembelea leo tarehe 02 Agosti, 2018 Ofisini kwake Bungeni
Jijini Dodoma. Ugeni huo ulioongozwa na Naibu Spika wa Bunge la Kenya,
Mhe. Moses Cheboi (kulia kwake).
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akiwa katika picha ya
pamoja na ugeni kutoka Bunge la Kenya ulipomtembelea leo tarehe 02
Agosti 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni
Naibu Spika wa Bunge la Kenya, Mhe. Moses Cheboi, Mhe. Farhiya Haji
(kushoto) na Mhe. Wafula Wamunyinyi
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Wilaya
ya Bahi Mteule, Mhe. Mwanahamisi Mukunda alipomtembelea leo tarehe 02
Agosti, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya
Bahi Mteule, Mhe. Mwanahamisi Mukunda alipomtembelea leo tarehe 02
Agosti, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kwa ajili ya
kumpongeza na mazungumzo mafupi
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)
.
No comments:
Post a Comment