HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 14, 2018

MWENYEKITI WA CCM RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHAMA HICHO KATIKA OFISI NDOGO YA CCM LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM katika Ofisi ndogo ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam leo tarehe 14/08/2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Katibu Mkuu wa CCM Bashiru Ally Kakurwa mara baada ya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM katika Ofisi ndogo ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam leo tarehe 14/08/2018. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad