HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, August 26, 2018

Morogoro yafana baada ya kushinda gari la nane la M-Pesa

Mstahiki Meya wa Mji wa Morogoro Paschal Kihanga Mwendashule (Kushoto) akimkabidhi funguo ya gari bi Glory Lyatuu kutoka Morogoro baada ya kuibuka mshindi wa nane wa promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari, mteja wa M-Pesa anatakiwa kufanya miamala mingi zaidi ili kuweza kujishindia gari.
Mstahiki Meya wa Mji wa Morogoro Paschal Kihanga Mwendashule (Kushoto) akimkabidhi kadi ya gari Glory Lyatuu kutoka Morogoro baada ya kuibuka mshindi wa nane wa promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari, mteja wa M-Pesa anatakiwa kufanya miamala mingi zaidi ili kuweza kujishindia gari.
Mkuu wa kitengo cha usambazaji M-Pesa Julius Kastabu (Kulia) akimuonesha kifaa cha pembetatu (triangle) Glory Lyatuu kutoka Morogoro baada ya kuibuka mshindi wa nane wa promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari, mteja wa M-Pesa anatakiwa kufanya miamala mingi zaidi ili kuweza kujishindia gari.
Mshindi wa nane wa promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari, Glory Lyatuu akiwa ndani ya lake alilojishindia kwenye promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari, mteja wa M-Pesa anatakiwa kufanya miamala mingi zaidi ili kuweza kujishindia gari.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad