Mstahiki Meya wa Mji wa Morogoro Paschal Kihanga Mwendashule (Kushoto)
akimkabidhi funguo ya gari bi Glory Lyatuu kutoka Morogoro baada ya
kuibuka mshindi wa nane wa promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari,
mteja wa M-Pesa anatakiwa kufanya miamala mingi zaidi ili kuweza
kujishindia gari.
Mstahiki Meya wa Mji wa Morogoro Paschal Kihanga Mwendashule (Kushoto)
akimkabidhi kadi ya gari Glory Lyatuu kutoka Morogoro baada ya
kuibuka mshindi wa nane wa promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari,
mteja wa M-Pesa anatakiwa kufanya miamala mingi zaidi ili kuweza
kujishindia gari.
Mkuu wa kitengo cha usambazaji M-Pesa Julius Kastabu (Kulia) akimuonesha
kifaa cha pembetatu (triangle) Glory Lyatuu kutoka Morogoro baada ya
kuibuka mshindi wa nane wa promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari,
mteja wa M-Pesa anatakiwa kufanya miamala mingi zaidi ili kuweza
kujishindia gari.
Mshindi wa nane wa promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari, Glory Lyatuu akiwa ndani ya lake alilojishindia kwenye promosheni ya Tumia M-Pesa ushinde gari,
mteja wa M-Pesa anatakiwa kufanya miamala mingi zaidi ili kuweza
kujishindia gari.
No comments:
Post a Comment