HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 31, 2018

KATIBU MKUU WA CCM DKT BASHIRU ALLY AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA KUU LA UVCCM LEO

Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa akivalishwa mara baada ya kuwasili katika Ukumbi wa CCM White House Dodoma
Meza kuu ikiimba pamoja na Wajumbe wa Baraza kuu 
Wajumbe wa Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi wakiimba Nyimbo mara baada ya Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa 
 ambae pia ni Mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa Kikao Cha Baraza kuu ala UVCCM Taifa 
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mwl Raymond Mwangwala akizungumza Kuwakaribissha wajumbe wa kikao cha Baraza kuu Kilicho fanyika jjini Dodoma Leo
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Ndg.Kheri D James Akizungumza wakati wa Kumkaribisha Mgeni Rasmi Kufungua kikao Cha Baraza kuu la UVCCM Kilichofanyika JIJINI Dodoma Leo
Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa akifungua kikao  Cha Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Kilichofanyika Jijini Dodoma Leo.
Wajumbe wa Baraza kuu wakifuatilia Mkutano 
Wabunge na wawakilishi wa nao tokana na Umoja wa Vijana

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Bi Tabia Mwita akitoa neno la Shukran Kwa Mgeni rasmi Mara baada ya kikao cha Kufunguliwa na Katibu Mkuu wa CCM
 Mbunge wa Nzega Mhe Hussein Bashe akizungumza kwa Niaba ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi katika kikao cha Baraza kuu la Uvccm Taifa.
Naibu waziri wa Kazi Vijana na Ajira na Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini akizungumza kwa niaba ya Serikali katika kikao cha Baraza kuu la UVCCM leo jijini dodoma.
(Picha zote na Fahadi Siraji UVCCM)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad